1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

17.06.2018 Asubuhi: Taarifa ya Habari

John Juma
17 Juni 2018

Mjumbe maalum wa Umoja wa Mataifa kuhusu Yemen , amefanya mazungumzo ya dharura kuhusu usimamizi wa bandari ya Hodeida.// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel anapanga mkutano wa dharura kuepusha mgogoro katika muungano wake kuhusu sera ya uhamiaji. // Croatia imeicharaza Nigeria huku Argentina ikitoka sare na Iceland

https://p.dw.com/p/2zhzh