1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bomu la ripuka Madrid

30 Desemba 2006
https://p.dw.com/p/CCet

MADRID:

Waziri wa ndani wa Spain,Alfredo Rubalcaba amesema bomu lililoripuka leo katika Uwanja wa ndege wa Spain mjini Madrid na chama cha ETA kubeba jukumu lake, limevunja mapatano ya kusimamisha vita na ETA ambayo chama hicho kilitangaza Machi 22. Mtu mmoja ametoweka na hajulikani alipo baada ya mripuko huo.