1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jarida la Forbes

Forbes ni jarida la biashara la Kimarekani linalochapishwa kila wiki mbili likiangazia masuala ya fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Forbes pia linaripoti kuhusu mada zinazofanana kama teknolojia, mawasiliano na siasa.