1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.07.2020 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S1 Julai 2020

Julai mosi Kansela Angela Merkel atakuwa na miezi sita ya kutafuta maridhiano katika Umoja wa Ulaya// Somalia leo inaadhimisha miaka 60 ya uhuru// DR Congo-Wizara ya Afya inaelezea mafanikio mazuri katika kupambana na ugonjwa wa Ebola kwenye jimbo la Eqauateur,kaskazini Magharibi mwa nchi// Shirika la Umoja Mataifa linaloshughulikia wakimbizi UNHCR Uganda limejiandaa kuwapokea mamia ya wakimbizi.

https://p.dw.com/p/3ecGr