You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Mazingira
Ruka sehemu inayofuata Habari
Habari
26.04.2024
26 Aprili 2024
Jamii asilia, Brazil zashinikiza ardhi yao kutambuliwa
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Viongozi wajadili mkataba wa taka za plastiki
Viongozi wajadili mkataba wa taka za plastiki
Viongozi wa kimataifa wamekusanyika kwa mazungumzo ya mkataba wa kukabiliana na uchafuzi wa plastiki duniani.
Mafuriko yasababisha maelfu kukosa makazi Burundi
Mafuriko yasababisha maelfu kukosa makazi Burundi
Ofisi zinazohusika na masuala ya mpakani kati ya Burundi na Kongo zimefurika baada ya maji kujaa katika Ziwa Tanganyika.
Mvua kubwa yasababisha maafa katika mataifa mengi duniani
Mvua kubwa yasababisha maafa katika mataifa mengi duniani
Mvua kubwa na mafuriko yanaendelea kusababisha maafa katika mataifa mengi kote duniani.
Maelfu waachwa bila makaazi kutokana na mafuriko Kenya
Maelfu waachwa bila makaazi kutokana na mafuriko Kenya
Takriban watu 4,639 wameachwa bila makazi, huku zaidi ya nyumba elfu 17 zikiharibiwa na ikutokana na mvua kubwa Kenya.
Wanaharakati wa mazingira mbioni kuhifadhi msitu wa Aberdare Kenya
Wanaharakati wa mazingira mbioni kuhifadhi msitu wa Aberdare Kenya
Muungano wa wahifadhi wa mazingira nchini Kenya unaowakilisha mashirika 73 wamewasilisha ombi kwa mahakama ya kitaifa ya mazingira kusitisha mradi wa ujenzi wa barabara kuu ya Ndunyu Njeru – Ihithe itakayopita katikati ya msitu na mbuga ya wanyama pori ya Aberdare, wakihoji kwamba madhara itakayosababisha kwa mfumo wa ikolojia, inapita faida zozote zinazowezekana.
UN: Dunia hatarini kutokana na mawimbi ya joto
UN: Dunia hatarini kutokana na mawimbi ya joto
Umoja wa Mataifa umesema kuwa viwango vya joto duniani vilivunja rekodi mwaka uliopita wa 2023.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukio
Masuala maalumu na matukio
Jarida la Habari la DW: Jisajili hapa
Jielimishe zaidi
Ruka sehemu inayofuata Safari, maisha na zaidi
Safari, maisha na zaidi
Faida za Misitu kusini mwa Tanzania
Katika Makala hii ya Mtu na Mazingira Salma Mkalibala anaangazia, faida za kimazingira zinazotokana na uwepo wa Misitu ya Ukanda wa Pwani na changamoto zake.
Upandaji wa miti kudhibiti jangwa Kanda ya Sahel
Ongezeko la joto duniani linavuruga zaidi Ukanda wa Sahel ambao hivi sasa unakumbwa na migogoro ya kikabila na vita dhidi ya makundi ya kigaidi. Kwenye makala hii ya Mtu na Mazingira tunaangazia miradi kadhaa ya kurutubisha eneo la Sahel katika juhudi za kukabiliana na kuenea kwa jangwa na ukame vinavyoliathiri eneo hilo la Afrika Magharibi. Ni Mtu na Mazingira na Saleh Mwanamilongo
Matangazo