1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

01.07.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S1 Julai 2020

Burundi leo inaadhimisha miaka 58 tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa mkoloni Ubelgiji// Nchini Ethiopia kunatokota, zaidi ya watu 50 wamefariki dunia kufuatia maandamano// Mapema wiki hii, China imeanzisha sheria yake ya usalama wa kitaifa kuhusu Hong Kong// Human Rights Watch- Serikali kote ulimwenguni zinatakiwa kuzipa kipaumbele haki za watoto katika sera na hatua zao za kuyalinda mazingira.

https://p.dw.com/p/3eeOG