1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

02.05.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S2 Mei 2019

Taarifa ya kifo cha mwenyekiti wa kampuni za IPP nchini Tanzania Reginald Mengi imehuzunisha wengi nchini humo// Uganda- Mwanasiasa na msanii Robert Kyagulanyi kaachiwa kutoka gerezani// Kansela wa Ujerumani Angela Merkel, ameutetea Msimamo wa nchi yake wa kudhibiti usambazaji wa silaha katika ukanda wa Sahel, akisema kufanya hivyo kutazifanya kuishia mikononi mwa magaidi.

https://p.dw.com/p/3Hpli