1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.05.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S3 Mei 2019

Dunia leo inaadhimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari huku kukiwa na ukiukwaji mkubwa wa uhuru huo katika mataifa mengi, hususan barani Afrika// Uhuru wa vyombo vya habari nchini Tanzania inaelezewa kuwa katika hali tete// Mwendesha mashitaka mkuu wa Sudan ameamua kumhoji rais aliyepinduliwa Omar el Bashir kuhusiana na madai ya kutakatisha fedha na kugharamia ugaidi.

https://p.dw.com/p/3HsiA