1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.05.2020 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
3 Mei 2020

Baadhi ya mataifa ya Ulaya yaanza kulegeza taratibu vizuizi vilivyowekwa kudhibiti kuenea kwa virusi vya corona // Rais Trump apongeza kujitokeza tena hadharani kwa Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un // Na Waisrael waandamana dhidi ya serikali ya muungano wakati mahakama ikitarajiwa kuamua kuhusu makubaliano hayo

https://p.dw.com/p/3bhhz