1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.06.2021 - Matangazo ya Asubuhi

3 Juni 2021

Janga la COVID-19, limeharibu familia kote India na kuacha maelfu ya watoto wakiwa yatima au bila mzazi mmoja+++Wizara ya afya ya Rwanda imetangaza mkakati mzito wa kuanza kutoa chanjo ya virusi vya corona kabla ya kumalizika mwaka huu wa 2021+++Baada ya kipindi kirefu cha mauwaji ya zaidi wapigania demokrasia 30 nchini Iraq,haitimaye mmoja wa washukiwa ametiwa mbaroni.

https://p.dw.com/p/3uNQp