1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.07.2018 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S3 Julai 2018

Ujerumani inaendelea kukabiliwa na mgogoro wa kisiasa uliosababishwa na tofauti ya maoni kuhusu suala la uhamiaji, kati ya kansela Angela Merkel na waziri wake wa masuala ya ndani, Horst Seehofer// Mtumiaji wa mitandao ya kijamii kama vile facebook twitter na instagram nchini Uganda atalazimika kulipia shilinbgi 200 za uganda ili kufikia huduma ya mitandao hiyo.

https://p.dw.com/p/30iX5