1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

03.08.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S2 Agosti 2022

China inatahadharisha kuwa Marekani italipa gharama ikiwa Spika wa Bunge Nancy Pelosi atazuru Taiwan wakati wa safari yake ya Asia+++Tanzania na Zambia kuimarisha uhusiano wa ujirani mwema+++Uganda-Kizza Besigye na Robert Kyagulanyi wameazimia kuungana ili kukabiliana kisiasa na utawala wa Rais Yoweri Museveni.

https://p.dw.com/p/4F24y