Shirika la kudhibiti matumizi ya Silaha za Sumu OPCW limeelezea wasiwasi mkubwa hii leo baada ya Ujerumani kusema kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny alipewa sumu aina ya Novichok// Maoni: Je Ujerumani itabadili msimamo wake dhidi ya Urusi? // Tanzania- Leo chama tawala CCM kilikuwa Shinyanga, siku moja baada ya chama kikuu cha upinzani Chadema kufanya mkutano wake mjini humo.