Mahojiano kuhusu ripoti ya Amnesty International iliyosema kwamba serikali ya Tanzania imewapokonya raia na mashirika yasiyo ya kiserikali haki ya kufungua kesi kuhusu haki za binaadamu/ Jeshi la Congo latangaza matokeo ya vita dhidi ya waasi wa ADF/ Mvua yasababisha mafuriko, Kenya/ COP25: Joto kali kuathiri zaidi afya ya binaadamu/ NATO yaadhimisha miaka 70 ikiwa kwenye mizozo