Ukraine imesema inakataa juhudi zozote kufuta mipango yake ya kujunga na jumuiya ya kujihami ya NATO pamoja na hakikisho lolote+++Taliban watoa amri ya kuheshimu haki za wanawake +++Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Uganda zimezindua ujenzi wa barabara katika mkoa wa kivu Kaskazini+++Mtoto wa Ghaddafi, Seif Al Islam kuwania urais wa Libya.