1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.03.2020 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S4 Machi 2020

Joto la uchaguzi linapoanza kufukuta nchini Uganda, jenerali mmoja nchini humo Henry Tumukunde ametangaza nia ya kuwania urais, hatua iliyopokelewa kwa maoni mseto// Katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mgonjwa wa mwisho wa EBOLA ameondoka hospitalini jana katika mji wa Beni// Uturuki na Urusi zimeingia katika kona ambayo ni vigumu kujitoa.

https://p.dw.com/p/3YsBg