1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.06.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S4 Juni 2021

Serikali ya Tanzania imetoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuiondolea vikwazo nchi ya Burundi+++Ujerumani itakuwa mwenyeji wa mkutano wa kutafuta amani nchini Libya utakaofanywa Juni 23 mjini Berlin+++Katika kambi moja nchini Syria, utawakuta watoto wakitembea katika barabara iliyojaa uchafu, wakicheza na mapanga ya plastiki na bendera nyeusi.

https://p.dw.com/p/3uQlz