1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

04.09.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S4 Septemba 2019

IIi kupata ufanisi zaidi kuelekea mageuzi ya kikatiba na katika sekta ya usalama, Somalia inahitaji mdahalo mpya na ushirikiano miongoni mwa wadau wote/ Serikali ya Yemen inautuhumu Umoja wa falme za Kiarabu au Emirati kuwaaunga mkono kijeshi waasi wa kusini/ Serikali ya Nigeria imejitokeza wazi kuishutumu Iran kulifadhili vuguvugu la Kiislamu nchini humo

https://p.dw.com/p/3OzqD