1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

06.05.2021 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S6 Mei 2021

ICC yamhukumu Ongwen kifungo cha miaka 25 jela // Jeshi la jamuhuri ya kidemokrasi ya Congo limechukua rasmi hatamu za uongozi wa majimbo ya kivu ya kaskazini na Ituri kuanzia leo// Meli za kivita za Uingereza na Ufaransa zimepiga doria kwenye kisiwa cha Jersey, kufuatia maandamano ya wavuvi// Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken yuko ziarani nchini Ukraine.

https://p.dw.com/p/3t4EZ