1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

07.05.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S7 Mei 2019

Kampeni za lala salama zinaendelea nchini Afrika ya kusini kuelekea uchaguzi// Wanasiasa wanaohasimiana nchini Sudan Kusini wameuchelewesha mchakato wa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa// Kundi linalojiita dola la Kiislam linaweza kuwa limesambaratishwa katika eneo la Mashariki ya Kati lakini bara la Asia linatoa nafasi muafaka ya kuibuka upya kwa kundi hilo.

https://p.dw.com/p/3I3ZO