1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.04.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S9 Aprili 2019

Israel inapiga kura siku ya leo katika uchaguzi utakaoamua iwapo waziri mkuu wa sasa Benjamin Netanyahu ataendelea kuwa madarakani licha ya tuhuma za rushwa dhidi yake/ Kwa mara ya kwanza aliekuwa gaidi wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu alierejea nchini Ujerumani kutoka Iraq anafikishwa mahakamani kujibu tuhuma juu ya kuhusika na uhalifu wa kivita/ India inajiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo

https://p.dw.com/p/3GUPO