1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.05.2015 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S9 Mei 2015

Rais wa Urusi Vladmir Putin aongoza maadhimisho ya miaka 70 tangu kumalizika kwa Vita Vikuu vya Pili vya Dunia // Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Burundi Agathon Rwasa amesajiliwa rasmi kama mgombea wa uchaguzi wa rais// Mahakama moja ya Misri imemhukumu rais aliyeondolewa madarakani Hosni Mubarak na wanawe wawili wa kiume kifungo cha miaka mitatu gerezani

https://p.dw.com/p/1FNS0