1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

09.07.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S9 Julai 2019

Mshauri wa rais wa Ufaransa afanya ziara nchini Iran kujaribu kuokoa makubaliano ya nyuklea yaliyosababisha mvutano mkubwa kati ya Iran na Marekani/ Usalama wa barabarani > Mahojiano/ Arusha: Mashirika ya kiraia yanatarajiwa kutoka na tamko la pamoja linalolenga kuihamasisha serikali kufanya mabadiliko ya sheria ya asasi za kiraia/ Hakuna ahueni Eritrea mwaka baada ya makubaliano na Ethiopia

https://p.dw.com/p/3Lohl