Joto la kisiasa katika mikoa ya kanda ya kaskazini mwa Tanzania linaendelea kupamba moto wakati ambapo wanasiasa wanaotaka kuwania nafasi za ubunge katika majimbo ya uchaguzi wakiongezeka// Rais Mpya wa Malawi Lazarus Chakwera ametangaza baraza lake jipya la mawaziri// Kenya na Marekani zimezindua rasmi majadiliano ya mkataba wa biashara.