1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.01.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S10 Januari 2019

Kanisa Katoliki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo linasema kuwa matokeo yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi, CENI, hapo jana, hayalingani na yale ambayo waangalizi wake waliyakusanya kwenye vituo vya kuhesabia kura//Migawanyiko inazidi kuongezeka katika chama tawala cha Jubilee nchini Kenya

https://p.dw.com/p/3BKrB