1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.05.2019 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S10 Mei 2019

Iran inasema inaacha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake kwenye mkataba wa kusitisha utengezaji silaha za nyuklia// Wataalamu wa masuala ya madini kutoka mataifa ya Afrika wakutana // Na Chama tawala Afrika Kusini ANC kinangoza katika matokeo ya uchaguzi wa bunge// Waislamu kote ulimwenguni wamo katika harakati za mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan.

https://p.dw.com/p/3IH6w