1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.06.2019 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
10 Juni 2019

Waziri wa Mambo ya nchi za Kigeni wa Ujerumani Heiko Maas yuko Tehran kuupigia debe mkataba wa nyuklia wa Iran // Watu wanne wauawa ktika makabiliano ya vikosi vya usalama na waandamanaji nchini Sudan // Na mamia kwa maelfu ya wakaazi wa Hong Kong waandamana dhidi ya mswada utakaoruhusu watuhumiwa kupelekwa China bara

https://p.dw.com/p/3K7PU