1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

10.09.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S10 Septemba 2021

Waandishi habari tisa wa DW wamefanikiwa pia kuondoka nchini Afghanistan kupitia Pakistan+++Rais Joe Biden wa Marekani amezungumza na mwenzake wa China, Xi Jinping, kwa mara ya kwanza ndani ya kipindi cha miezi saba+++DR Congo- Vijana mjini Beni washika Doria kufuatia ongezeko la uhalifu+++ Mpinzani wa kisiasa akamatwa kwa madai ya ubakaji Rwanda.

https://p.dw.com/p/40AKL