1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.05.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S11 Mei 2021

Ethiopia itafanya uchaguzi wake wa bunge mnamo mwezi ujao wa Juni, lakini zoezi la uandikishaji wapigakura lina viraka/ Wito wa Biden kutaka sheria ya hakimiliki kuhusu chanjo za COVID-19 kuondolewa, umeibua hisia mseto barani Ulaya/ Waumini wa dini ya kiislamu wanataraji kuhitimisha mwezi mtukufu wa Ramadhani ndani ya juma hili

https://p.dw.com/p/3tEFW