1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

11.06.2020 Taarifa ya habari asubuhi

Bruce Amani
11 Juni 2020

Ujerumani na washirika wake wa Ulaya wapinga mipango ya Israel kunyakua maeneo ya Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi // Mahakama ya Kimataifa ya Jinai yawataka washukiwa wa uhalifu wa kivita Sudan wajisalimishe // Na Korea Kaskazini yaionya Marekani kuwa kuingilia mambo yao ya ndani kutaathiri uchaguzi wake

https://p.dw.com/p/3dcJA