kamati ya Nobel imeamua kumtunukia tuzo yenye hadhi kubwa ya Amani ya Nobel, waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed//Mkutano wa pamoja wa wakuu wa majeshi ya Polisi kati ya Tanzania na Burundi unafanyika mkoani Kigoma magharibi mwa Tanzania kwa lengo la kupanga mikakati ya kudhibiti uhalifu na ugaidi