1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.05.2024 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S12 Mei 2024

Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk amesisitiza kuwa mashambulizi kamili ya mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza kamwe hayapaswi kufanyika. // Watu 17 wajeruhiwa katika mji wa mpakani wa Urusi Belgorod, kufuatia shambulizi la Ukraine // Maafisa wa uokoaji watatizika kufikia maeneo yaliokumbwa na mafuriko nchini Afghanistan

https://p.dw.com/p/4flM9