1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

12.12.2018 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S12 Desemba 2018

Wabunge wa Uingereza kupiga kura ya kutokuwa na imani na May/ Trump atishia kuzisimamisha shughuli za serikali/ Wawili wauwa, 20 wajeruhiwa Lubumbashi kuelekea uchaguzi wa DRC/ Straßbourg: Msako mkali wa polisi unaelendelea kumtafuta mshambuliaji mmoja aliyefyetua risasi karibu na soko mashuhuri la Krismasi ambapo watu wawili wamekufa na 13 wamejeruhiwa

https://p.dw.com/p/39vuS