1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.01.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S13 Januari 2021

Uganda: Kampeni za uchaguzi zilihitimishwa jioni ya jana Jumanne, baada ya kufanyika katika mazingira ya mivutano ambayo wakati mwingine ilikuwa na umwagikaji wa damu/ wananchi wa Tanzania wanaufuatilia kwa karibu uchaguzi mkuu wa Uganda utakaofanyika Alhamisi/ Kenya inaanza mchakato wa kumchagua Jaji Mkuu mpya/ Barakoa: Juliet Namujju aliamua kutafuta matumizi mengine ya taka za plastiki

https://p.dw.com/p/3nqW5