1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.01.2022 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S13 Januari 2022

Wasafiri nchini Mali wamekwama kutokana na vikwazo vya Afrika Magharibi+++Msumbiji- Wapiganaji wameendelea kutanua uwanja wa mapambano unaolizunguka eneo la mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado+++ Bunge la iraq limefanya kikao chake cha kwanza lakini mijadala ya ufunguzi iligeuka kuwa mabishano makali kati ya makundi ya Washia.AFCON- Ivory Coast yapata ushindi dhidi ya Guinea ya Ikweta.

https://p.dw.com/p/45Sfm