1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

13.05.2022 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S13 Mei 2022

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskiy amesema nchi yake haitalitambua jimbo la Crimea kuwa ni sehemu ya Urusi+++Polisi wa Israel wamekabiliana na waombolezaji wa Kipalestina huko Jerusalem hii leo katika shughuli ya mazishi ya mwandishi habari wa Al Jazeera, Shireen Abu Akleh+++Jamii ya Mbilikimo DRC yavamia vijiji na kujeruhi watu.

https://p.dw.com/p/4BHPg