1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.01.2021 Matangazo ya Asubuhi

TSA / S08S14 Januari 2021

Raia wa Uganda wanapiga kura leo katika uchaguzi mkuu unaotazamiwa kutoa ushindani mkali kwa utawala wa rais Yoweri Museveni// Wasifu wa rais Yoweri Museveni ambaye ameshatawala kwa muda wa takriban miaka 35// Mwanamuziki Bobi Wine ambaye jina lake halisi ni Robert Kyagulanyi na mpinzani mkuu wa Rais Yoweri Museveni anataka kuingia Ikulu.

https://p.dw.com/p/3ntTS