1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.06.2019 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S14 Juni 2019

Marekani inaamini kuwa Iran inahusika na kushambuliwa kwa meli za mafuta kwenye mlango wa bahari wa Hormuz katika Ghuba ya Oman//Baraza tawala la kijeshi nchini Sudan limekiri kwa mara ya kwanza kabisa, wao ndio walioamuru wanaharakati waliopiga kambi mbele ya makao makuu ya jeshi mjini Khartum

https://p.dw.com/p/3KSfi