1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

14.09.2017 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S14 Septemba 2017

Timu ya waandishi wa idhaa za Afrika za DW inaendelea na safari zake za barabarani na mara hii timu hiyo ipo mashariki mwa Ujerumani katika chuo kikuu cha Leipzig// Shirika la elimu, sayansi na utamaduni la Umoja wa Mataifa UNESCO linasema kati ya watu milioni 750 duniani wasiojua kusoma na kuandika asilimia 63 ni wanawake.

https://p.dw.com/p/2jwJM