Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, yumo ziarani nchini Ujerumani // Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres, ameonya kwamba makundi ya kigaidi yameendelea kujiimarisha kwenye eneo lote la Sahel kaskazi magharibi mwa Afrika