1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

15.01.2021 Matangazo ya Mchana

SK2 / S02S15 Januari 2021

Uganda- Bobi Wine adai kushinda wakati Museveni akitangazwa kuongoza// Maoni: Uchaguzi wa Uganda ni fursa iliyopotea// Waasi kundi la ADF linaloendesha harakati zake mashariki mwa Congo, jana wameshambulia kijiji cha Masini katika wilaya ya Irumu na kuwauwa Mbilikimo 46// Rais mteule wa Marekani, Joe Biden azindua mpango wa uokozi wa dola trilioni 1.9 kwa ajili ya kuufufua uchumi.

https://p.dw.com/p/3nxUs