1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.07.2019 Matangazo ya Jioni

SK2 / S02S16 Julai 2019

Von der Leyen akamilisha juhudi za kuwania ofisi ya juu zaidi Umoja wa Ulaya/ Watoto milioni 20 hawapati chanjo ya magonjwa hatari/ Ripoti: Vifo vinanvyosababishwa na UKIMWI vyapungua/ Nairobi: Warsha maalum inayojadili maswala kuhusu mchato wa amani na demokrasia kwa nchi za ukanda wa Maziwa Makuu/ Mataifa ya Afrika yanataraji kuketi katika mkutano wa pamoja ambao kujadili masuala ya korosho

https://p.dw.com/p/3MAUV