1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.09.2021 Matangazo ya Asubuhi

16 Septemba 2021

Kwa sababu za kiusalama, maandamano yamepigwa marufuku nchini Afghanistan kuanzia sasa na kuendelea+++Hatua zilizochukuliwa ili kupambana na janga la Covid 19 zimesababisha kuongezeka kwa mimba za utotoni barani Afrika+++Wanavijiji nchini Kenya wameanza kutumia ujuzi wa kitamaduni kuokoa miti na maji katika maeneo wanayoishi.

https://p.dw.com/p/40NbY