Afghanistan- Msuguano waongezeka kati ya pande mbili za uongozi wa Taliban+++Mkuu wa kundi linalojiita dola la Kiislamu, ukanda wa jangwa la Sahara Adnan Abu Walid al-Sahrawi ameuwawa+++Marais wa Jumuiya ya ECOWAS kukutana tena Alhamisi kujadili hatua za ziada kufuatia mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea+++Marekani, Uingereza na Australia zazindua muungano wa usalama.