1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

16.11.2016 Matangazo ya asubuhi

TSA / S08S16 Novemba 2016

Shirika la Ujasusi nchini Ujerumani limeonya kwamba kundi linalojiita dola la Kiislamu IS linaingia barani ulaya kupitia makundi ya wakimbizi// Rais wa jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila alilihutubia taifa na kuahidi kuheshimu katiba ya nchi hiyo// Gambia ni nchi ya hivi Karibuni kabisa kufikisha rasmi barua yake katika Umoja wa Mataifa ya kutaka kujiondoa katika mahakama ya ICC.

https://p.dw.com/p/2SlGu