Uganda: Wasemaji wa jeshi na polisi wamesema Bobi Wine ataendelea katika kizuizi cha nyumbani kwa muda usiojuliakana/ Marekani: Usalama umezidi kuimarishwa katika miji mbalimbali kuelekea kuapishwa kwa rais mteule Joe Biden/ Gavana wa mkoa wa Kivu ya Kaskazini amefanya ziara katika wilaya ya Beni/ Covid-19: Serikali ya Rwanda imezifunga shule zote za serikali na zile za binafsi Kigali