Tanzania: Maalim Seif ajiunga na ACT Wazalendo/ Uamuzi wa Mahakama Kuu kumhalalisha Profesa Lipumba katika uongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) umebadilisha upepo wa kisiasa kwa umma wa Wazanzibari na sasa wanajiandaa kujiunga na ACT Wazalendo/ Urusi yaadhimisha miaka mitano tangu kuliteka jimbo la Crimea