Rais wa zamani wa Misri Morsi azikwa baada ya kufariki mahakamani/ Mahojiano: Je, kifo cha Morsi kitakuwa na athari gani kisiasa katika taifa hilo?/ Tangazo la Marekani la kutuma wanajeshi ziada mashariki ya kati kufuatia mzozo unaozidi makali kati ya Washington na Tehran/ Hali ya kisiasa nchini Kenya/ Idadi ya watu duniani inatarajiwa kupanda na kufikia bilioni 9.7 ifikapo mwaka 2050