Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Jean-Claude Juncker ameonya juu ya kutokea hali tata zaidi iwapo wabunge wa Uingereza watashindwa kupigia kura mkataba wa Brexit uliopatikana kwa njia ngumu//Venezuela yajishindia kiti katika Baraza la Haki za Binadamu