Kiongozi mkuu wa Iran ameunga mkono uamuzi wa serikali wa kupandisha bei ya mafuta na gesi kwa asili mia 50/ Mchakato wa kibunge unaolenga kumfungulia mashtaka Rais Trump wa Marekani unaingia kwenye hatua yake muhimu wiki hii/ Israel: Mpinzani wa Netanyahu, Benny Gantz amesalia na siku mbili tu za kuunda serikali ya muungano atakayoiongoza kama waziri mkuu